Blogger Tips And Tricks|Latest Tips For BloggersFree BacklinksBlogger Tips And Tricks

Sunday, December 28, 2014

Chombezo: MPANGAJI
Sehemu: 14
Mtunzi: Frank Masai
Simu: 0717 738973
ILIPOISHIA...
“Huyu ni mgeni,ni mdogo wake George,katoka Dar. Kafika hapa jana usiku wa saa tatu. Anaitwa Prince”.Mzee yule akanitambulisha kwa wanawe ambao mimi nilishaanza kupiga nao stori kidogo kidogo.
“Karibu Prince”.Nikakaribishwa na mabinti wale kwa wao kupokezana kusema karibu Prince.
“Ehee. Prince. Hawa ni wanangu,huyu mkubwa anaitwa Farida Donyo,huyu anaemfata anaitwa Sheila naye ni Donyo na huyu wa mwisho anaitwa Lilian.
SONGA NAYO HAPA
Sasa kitu nilichoona kama mtego kwangu ni pale kifuani,ha ha haaa,nyie watu dunia hii wamebarikiwa sana kwa maujanja. Alikuwa hajafunga vifungo hadi juu,hivyo alifanya yale matiti yake makubwa yanaonekana vizuri sana. Yalikuwa yamevimba halafu yanang’aa kutokana na ule weupe aliokuwa amebarikiwa na MUNGU.
Nilibaki nimechutama pale nilipokuwa natafuta bandeji,lakini sikuchutama bure,bali nilikuwa namuangalia yeye na uzuri wake aliopewa na muumba.
“Mbona umetulia?”.Aliniuliza huku akiwa ametabasamu.
“Nakuangalia wewe unayeingia nyumba ya watu bila hodi”.Nikamjibu.
“Hamna bwana. Samahani kwa hilo. Vipi umepata bandeji”.Aliniuliza.
“Yap. Ndiyo hii hapa nimeipata”.Nilimjibu baada ya kufungua droo moja ya kabati lile lililobeba TV na kukuta hiyo bandeji.
“Okey. Sasa si unanisaidia kubandika?”.Aliniuliza swali la mtego huku anatoa ile khanga yake na kumbakiza na lile gauni la jinzi.
Teheee. Acheni Adam adanganyike tu! kwa Hawa, wanawake wanavishawishi bwana.
Unajua nini? Lile gauni alilivaa lilikuwa linaishia magotini.Kitendo cha kutoa khanga na kisha kukaa kwenye kochi,kilifanya lile gauni kuvutika kwa juu na kuonesha upaja wake ulionona kama umepakwa mafuta ya kula.
“Nitakubandika tu!Mbona rahisi”.Nilimjibu na kumfuata pale alipo na kuibandika ile bandeji.Wakati nambandika alikuwa natoa visauti fulani sijui ni vya raha au maumivu au uchokozi tu! sababu vilikuwa kama vina nisisimua kamanda. Nilipomuangalia usoni,alikuwa kalegeza macho utadhani ananyonywa pango.
Nilijifikiria kwanza kabla sijafanya maamuzi. Kwanza kabisa,ni siku ya kwanza tu!ndo nimefika,lakini huyu manzi anaanza kuleta ishu zake mazee.
Pili nikaona huyu anataka aniletee kesi kama za wakina Tuse,na zaidi nikaona labda ni kicheche hivyo anakitu anataka anifanyie au labda ni mtego ili nifumaniwe.
Mawazo hayo yalipitishwa kwa haraka na bunge la kichwa changu,na nikaona njia mbadala ni kumuacha kama alivyo,kisha nianze kutafuta marafiki ambao watanipa data za familia ile.
Niliichukua khanga yake na kumfunika maungio yake mazuri na mororo.Kisha kamanda nikatabasamu na kukaa karibu yake ili asihisi vibaya.
“Nikuwekee filamu gani”.Niliongea naye kwa upole ili ajisikie amani ya moyo.
“Hauna ile ya Romeo and Juliet?”.Aliniuliza huku akiwa na aibu kidogo.
“Ile ninayo. Kuna CD nilitoka nazo Dar,ipo hiyo. Si ile ya Leonard Decaprio?”Nilimjibu na kumuuliza ili nipate uhakika...
:: Chombezo linazidikunoga hakikisha haikupiti hata siku moja. Kwa wale wote ambao hutoa lugha chafu hapa uwanjani huwa na wa block kundini watu kama hao hawatufai katika kujifunza kupitia hadithi.
:: Endelea ku LIKE na ku COMMENT chombezo hili kali na lakusisimua.
:: Kwa wale watakaokuwa waki SHARE 100 wa kwanza nitawapa kipaumbele kwa kuwa TAG chombezo hili kila litakapokuwa likitoka litakuwa katika 

Friday, December 19, 2014

WITCHCRAFT HANDS

WITCHCRAFT HANDS


 WITCHCRAFT HANDS

Date: 30/11/2014

Sunday mass by Bishop Josephat Gwajima
Bishop Josephat Gwajima

The Bible says “my hand is not short that it fails to save”

 In other words witchcraft hands also means unrighteous hands

John 4:24 “God is a spirit and truth and those who worship him must worship him in spirit and truth”.

 Psalms 29:11 “May the LORD give strength to his people! May the LORD bless his people with peace a psalms of David A song at the dedication of the Temple.”

Psalms 80:15”The stock which thy right hand planted”

Psalms 88:5” Like one forsaken among the dead, like the slain that lie in the grave, like those whom thou dost remember no more for they are cut off from thy hand”.

Psalms 79:11”Let the groans of the prisoners come before thee; according to thy great power preserve those doomed to die!.”

All these scriptures reveal that God has hands even though he is a spirit, although we cannot see them hands in flesh because there are spiritual hands .God has fingers as well if you look at

 
Luke 11:19-22
 
”And if I cast out demons by Beelzebub, by whom do your sons cast them out? Therefore they shall be your judges. But if it is by the finger of God that I cast out demons, then the kingdom of God has come upon you. When a strong man fully armed, guards his own palace, his goods are in peace; but when one stronger than he assails him and overcomes him, he takes away his armour in which he trusted, and divides his spoils”.

 19th verse clearly shows us that God has fingers, when we say God’s fingers we mean Holy spirit because it is the Holy spirit that works as the fingers of God and so if you’re touched know that is the Holy spirit working that is why at times you hear people say "LORD has touched me” similarly the devil has his hands and fingers that he use to touch people’s lives.

Job 1:8”And the LORD said to Satan “Have you not considered my servant Job, that there is no one like him on earth, a blameless and upright man, who fears God and turns away from evil”.

We learn that anyone who is blameless, upright man, who fears god and turns away from evil is a friend of God but you see in the verse 11, Satan tells God “but put forth thy hand now and touch all that he has and he will curse thee to thy face”. Therefore if you’re not touched by the Hand of God then you’re touched by the Devil’s hand and it is only those who have seen their lives touched by the devil’s hands that can make out the differences.

In Verse 12 here God tells Satan “put your hands forth on all that he has only upon himself do not put your hand forth. If you read verse 13 you’ll discover the moment the devil raised his hands everything on Job’s life started going wrong, like wise when Devil’s hand touch your life it immediately start change and become worse, so the hand of the devil can cause bad things to happen to you while others peacefully enjoy their lives

Verse 16”While he was yet speaking, there came another, and said, “The fire of God fell from heaven and burned up the sheep and the servants, and burned up the sheep and the servants, and consumed them; and I alone have escape to tell you”.

Verse 17” While he was yet speaking, there came another, and said, “The Chaldeans formed three companies, and made a raid upon the camels and took them, and slew the servants with the edge of the sword; and I alone have escaped to tell you””.

In verse 20 Job got confused even though he was the Lord’s servant but because of the series of events that happened confused.

In verse 21 Job thought it was the Lord doings

 Every word that has the breath of the God is good for teachings; in these scriptures we learn the following;

There are some things you may try to fight but you lose each time because there is Satan’s hand in it, when I talk about the devil’s hand I refer to agents of Satan you cannot see Satan’s hand but it works through its agents they work on behalf of Satan likewise we are God’s hand it means when we heal people it is the work of God that is done through our hands, In the world anyone who stands is a representatives his master

If you Read Daniel 11:16, Psalms 9:16and psalms 140:4 you’ll realize some people’s hand are unrighteous when they touch you it’s like the devil has touched you.  Look at Psalms 9:16 witches examine people by touching their hands (handshakes) they can know everything about you only by touching you. At times it might not be hands it can your clothes or anything you own if they touch it and say words evil things may start following you, it possible that your properties have vanished because there are Satan’s hands that have touched it.  Say this with confidence

“In the name of Jesus the hands that might have touched my hands, my wealth that I rightfully own, my clothes, my food I remove their signs in the spiritual realm from now in the name of Jesus”.

Don’t avoid shaking hands with people because if avoid you will give victory to Devil and you have to battle and so every day when you wake up say this short prayer.

I cleanse my face, my body, and my hands by the blood of Jesus anyone who has touched my clothes in the spiritual realm today I return to them anything that you have kept in the name of Jesus.

Today I break all witches hands in the name of Jesus. When you are touched by God his power comes insides you from the flesh to the bones of your body

Prayers:

in the name of Jesus all the hands of witches that have touched my body, my properties, or any of my belongings I break it in the name of Jesus, any signs which were left on my clothes I remove them by the blood of Jesus, witchcrafts hands which have touched my marriage, my family, my job I command those hands to break in the name of Jesus. In the mighty name of Jesus I put forth God’s hands to break and destroy all hands of the devil that have raised against my life I break them in the name of Jesus it is written” And they conquered him by the blood of the lamb and the word of their testimony “every witch that has put forth his hand on my body, my clothes, my head, my church, my country, my marriage I paralyze them by the blood of Jesus.

Every hand of the devil that is put forth to bring disaster on me I paralyze and break it in the name of Jesus Christ, I send polio to the hands of witches which are have planned to touch my children, my business, my education I paralyze them in the name of Jesus, I break them in the name of Jesus Christ. Every work that was started by the hands of the Devil I nullify it in the name of Jesus, I command by the authority of Jesus name every hand of the witch that was put forth touch my family I paralyze by the blood of Jesus I slay you in the name of Jesus.

Hands that bring infertility I break them in the name of Jesus you hand that is put forth to bring infertility in my work, in my education I break you today in the name of Jesus. Every hand of the witch that was sent to touch and everything I own today I break you in the name of Jesus. Devil who has put forth your hand to bring me fear at night and during the day today I break you in the name of Jesus Christ. Every hand that was put forth on my children, my parents, my friends, my relatives today I remove your ability of harming and I give to polio, I paralyze and slay you in the name of Jesus. I cut the hand that was put forth so I don’t get married in the Jesus ,I cut  the hand that was raised  to touched my clothes, my properties, or anything I have in the name of Jesus. The hand that was put forth to touch my employment I cut in the name of Jesus. I cut the hand that was put forth to touch my revenue in the name of Jesus. Female witches, male witches, child witch, adult witch I cut your hand which has put forth to touch me and my wealth in the name of Jesus.

MALAIKA WA KUZIMU

MALAIKA WA KUZIMU


 

 

 
SOMO; MALAIKA WA KUZIMU

NA MCHUNGAJI KIONGOZI: JOSEPHATI GWAJIMA

TAREHE: 07-12-2014

Neno malaika maana yake ni mjumbe wa Mungu hana jinsia, anaweza kuwa katika mwili au la. Neno kuzimu limeandikwa mara 73, na kwa namna nyingine limeandikwa kama shimoni mara 41. Maadui kulekule wanakokupoleka ilikukutendea mabaya, ndo huko huko unaenda kukutana na BWANA.  Kweli ni Mungu lakini kweli inaghalimu.Mungu hakutupa roho ya woga bali moyo wa kiasi na uthabiti. Imeandikwa;

 usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu.    Isaya 41:10

 

Malaika wa tano akapiga baragumu, nikaona nyota iliyotoka mbinguni, imeanguka juu ya nchi; naye akapewa ufunguo wa shimo la kuzimu.
Akalifungua shimo la kuzimu; moshi ukapanda kutoka mle shimoni kama moshi wa tanuru kubwa; jua na anga vikatiwa giza kwa sababu ya ule moshi wa shimoni.  Nzige wakatoka katika ule moshi, wakaenda juu ya nchi, wakapewa nguvu kama nguvu waliyo nayo nge wa nchi.
Wakaambiwa wasiyadhuru majani ya nchi, wala kitu cho chote kilicho kibichi, wala mti wo wote, ila wale watu wasio na muhuri ya Mungu katika vipaji vya nyuso zao.  Wakapewa amri kwamba wasiwaue, bali wateswe miezi mitano. Na maumivu yao yalikuwa kama kuumwa na nge, aumapo mwanadamu.  Na siku zile wanadamu watatafuta mauti, wala hawataiona kamwe. Nao watatamani kufa, nayo mauti itawakimbia. Na maumbo ya hao nzige yalikuwa kama farasi waliowekwa tayari kwa vita, na juu ya vichwa vyao kama taji, mfano wa dhahabu, na nyuso zao zilikuwa kama nyuso za wanadamu. Nao walikuwa na nywele kama nywele za wanawake. Na meno yao yalikuwa kama meno ya simba. Nao walikuwa na dirii kifuani kama dirii za chuma. Na sauti ya mabawa yao ilikuwa kama sauti ya magari, ya farasi wengi waendao kasi vitani.
Nao wana mikia kama ya nge, na miiba; na nguvu yao ya kuwadhuru wanadamu miezi mitano ilikuwa katika mikia yao.
 Na juu yao wanaye mfalme, naye ni malaika wa kuzimu, jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kiyunani analo jina lake Apolioni.
Ufunuo 9:1-11

Utajiuliza kwanini ufundishwe malaika wa kuzimu na sio malaika wa Mungu?Inashangaza sana kuona  malaika kutoka mbinguni anaufunguo na wa kuzimu na akafungua mlango wa kuzimu moshi wa shimoni ukatanda juu ya anga.Abadoni maana yake mharibifu-mharabu. Hivyo kazi yake ni kuharibu ndoa, familia, afya, nchi na kila kitu. Na pia anaharibu makusudi. Imendikwa;

Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele. Yohana 10;10.

Hakuna mtu anayewekuzuia kwenda kwenye safari yangu ya mafanikio uliyopangiwa na BWANA.Nyota ni alama ya malaika,kwa kalenda ya Mungu,Mungu ameweka mitihani ya kukufikisha katika ngazi nyingine.Imeandikwa;

 Siri ya zile nyota saba ulizoziona katika mkono wangu wa kuume, na ya vile vinara saba vya dhahabu. Zile nyota saba ni malaika wa yale makanisa saba; na vile vinara saba ni makanisa saba.Ufunuo 1:20

Mungu kila akitaka kukuvusha anaruhusu mitihani ili aone utakavyoikabili. Mitihani ya kulogwa, balaa lakini Mungu ametupa roho mtakatifu atupaye kushinda kwa damu ya Mwanakondoo. Imendikwa;

 Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda maisha yao hata kufa. Ufunuo 12:11

Kabla wana wa Israel hawajaingia nchi ya ahadi, ulikuwepo mto jordani, Mungu anaweza kuondoa kila kitu na aone kama utaendelea kumpenda? Mungu anatengeneza njia katikati ya bahari, Mungu atabaki kuwa Mungu tu hata pasipo mwili utamuona  BWANA. Matatizo sio matatizo kila siku, lakini kwa namna unavyoitikia kwenye matatizo waweza kutengeneza matitizo mengine. Hakuna tatizo lakudumu katika kuishi kwako, bali kila tatizo lipo ili kukupigisha hatua ya maisha yako.

Mtu anayesema kuzimu haipo anamatatizo makubwa. Kuzimu ni makao makuu ya shetani hapa duniani, ndiko kiti cha enzi cha shetani kilipo.Imeandikwa;

Kama vile wingu likomavyo na kutoweka, Ni vivyo huyo ashukaye kuzimuni hatazuka tena kabisa Ayubu7:9,

Maana mautini hapana kumbukumbu lako; Katika kuzimu ni nani atakayekushukuru?  Zaburi 6:5,

Tuwameze hai kama kuzimu, Na wazima, kama wao washukao shimoni.    mithali 1:12

 

Kuna viumbe wa kiroho wanafanya mambo katika ulimwengu wa roho, unapata matatizo katika ulimwengu wa mwili. Uwezo wako wa kushinda katika ulimwengu waroho, ndio uwezo wako wa kushinda katika ulimwengu wa mwili. Kabla ya aibu ya mwilini, inaanzia aibu ya  rohoni, magonjwa ya mwilini yanaanzia rohoni. Lakini Yesu alikufa ili tupate kuwa huru.Imeandikwa;

 Na wana wa watu wale waliokutesa Watakuja kwako na kukuinamia; Nao wote waliokudharau Watajiinamisha hata nyayo za miguu yako; Nao watakuita, Mji wa Bwana, Sayuni wa Mtakatifu wa Israeli.     Isaya 60:14

Ezekieli31:15, Amosi 9:2 Yona 2:2, Habakuki 2:5 watumishi wa Mungu hawa katika agano la kale walijua kuwa kuzimu ipo. Na pia katika agano jipa Mungu Yesu Kristo alijua kuwa kuzimu ipo. Imeandikwa;

Mathayo 16:18

Mchawi ni mtu anaweza kuwa mwanaume au mwanamke, anaenda kuzimu na kupokea uchawi na nguvu kutoka kuzimu kilipo kiti cha enzi cha shetani. Mshetani waliotoka kuzimu walikuwa na sura ya wadudu, wanadamu, wanyama, hii ni alama kuwa shetani kwa lengo moja la kuharibu atajitokaza katika sura mabli mbali.|Na silaha ya shetani kubwa ni kujificha usimjue, ili apate kuharibu. Kuna kundi la watu na sio watu wa kawaida na wameelekezwa ili wapate kuharibu maishs yako, lakini Mungu naye amaefungua mbingu apate kuwaokoa watu wake.

Unaweza kumuona mtu anavazi la kondoo, kumbe ni mbwa mwitu, anasura ya kibinadamu lakini kumbe ni waharibifu.

Mawazo ya watu duniani ni kuwa usiyemwabudu Mungu ndo mwenye mafaniko, jambo hili sio kweli. Mungu anasema katika mithali nawapenda wale wanipendao na o wanitafutao kwa bidii wataniona naamu na mali idumuyo ni yao. Mungu akikupa maekupa, lakini shetani akikupa ukikiuka mashsrti yake anakunyanganya. Kuna watu kilia wakianza kiti cha mafanikio wanaharibikiwa maana shsetani yule aharibuye anafanya kazi ya kuharibu kila unachokitengeneza.Imeandikwa;

Ayubu 9:31

Ayubu 33:8

Zaburi 28:31

Mithali 1:12

Isaya 22:42

Inawezekana shetani asikuchukue mzima mzima,  akachukua mikono ya mtu au vipawa, muonekano, upendeleo, navyo viksenda shimoni.Imeandikwa;

 Ili kurudisha roho yake itoke shimoni, Ili atiwe mwanga kwa mwanga wa walio hai.  Ayubu 33:30,

 Kwa namna hii inaonesha kuwa hata kama mambo yanaweza kupelekwa shimoni bado yanaweza kurudishwa toka shimoni. Kuna mashimo madogo madogo, na binadamu hawezi kufanya kitu chochote pasipo kupewa na Mungu. Kuna eneo la mtu limebarikiwa na kupitia eneo hilo apate kuingia kwenye hatima yake.Shetani hajawahi kuumba kitu chochote, kazi yake ni kuchukua vitu vya watu walivyopowa na Mungu anawapelekea wachawi, nao wanatumia kana kwamba wametengeneza wenyewe. Kuna amabaye siri yake ni ujasiri, ndani ya moyo wake, wachawi wanaweza kutumia ujasiri wako wanatisha watu. Na walio barikiwa miguu yao, kila anakokwenda anafanikiwa, lakini kama imeibiwa waweza kujikwaa mara kwa mara, na ukaanguka mbele za watu.

Shetani anaweza kugeuka na kuwa kitu chochote. Utajiuliza kwanini mtu akitaka kumloga mtu ahawezi kusema ntaenda London, au Kenya? Hii ni kwa kuwa shetsni amechagua maeneo na huko ameweka madhdbahu yake mfano kama unavyosikis Sumbawanga.

 

 

Ukiri

 Kwa jina la Yesu nakataa mahali popote kitu changu chochote kinapotumiwa na shetani. Naamuru miguu, biashara, akili, na maisha yako yaliyowekwa kwenye madhdbahu ya kishetani katika jina la Yesu. Na mashetani wote mlioniweka hama kwajina la yesu, toka katika jina la yesu.Kuanzia sasa chochote kila kilichowekwa kwenye shimo nakirudisha katika jina la Yesu.

Kwa damu ya yesu, macho yangu, moyo wangu kinywa changu, nyota ya kazi,  nyota ya umahiri, utawala, ndugu wa karibu, aliyeiba nyota ya maisha yangu teketea kwa jina la Yesu. Nyota yangu njoo kwa jina la Yesu. Nyota ya kupendwa njoo kwa jina la Yesu, nyota ya ndoa, safari, uso, njoo kuanza leo. Nawaamuru muondoke leo kwa jina la Yesu. Amina.

 
MAOMBI

Kila mzimu, jinni, pepo uliyechukua nyota yangu, uso wangu, utawala wangu, tumbo langu, akili yangu naamuru teketea kwajina la Yesu. Kila maisha bandia, maishs yasiyoyangu naamuru kazi za kichawi juu yangu ziteketee kwa jina la Yesu. Natangaza vita kwa jina la yesu. Kwa jina la yesu mahali popote ambapo nyota ya maisha yangu, kazi yangu au uso wangu umechukuliwa na kuwekwa kwenye mashimo ya kichawi rudisha leo kwa jina la yesu, rudisha uso, rudisha ndoa, rudisha tumbo kwa jina la Yesu.

Kwa jina la yesu mtu yeyote aliyechukua chochote cha maishs yangu, naamuru akili yangu, afya yangu, kazi yangu

Yawezekana hujui kama ungekua zaidi ya ulivyo leo na bahati mbaya hujui kama umeibiwa, umetekwa, au kiungo chako kama kimeibiwa naamuru mashetsni wadhdihirike na akujulikana katika jina la yesu. Naamuru moto wa BWANA uwake na ujue kuwa umeibiwa na kila kilichoibiwa kirudishwe leo katika jina la Yesu.



Nakataa kwa jina la Yesu. Kuanzia leo nazima moto wa shimoni, uliowashwa kinyume na afya yangu kinyume na uzima  wangu kwa jina la laYesu. Kwa jina la Yesu ninazima moto wa shimoni uliowaka kinyume na maisha yangu, naamuru kuanzia sasa jini kutoka baharini namuwasha kwa moto wa Mungu.Mzimu wa ukoo, uliotumwa kuniua kabla ya wakati wangu kamba za mauti katika kwa jina la yesu. Kamba za mauti katika kwa jiana la Yesu.


Kwa damu ya mwana kondoo narudi kwenye asili yangu. Nakataa asili ya kishetani nilivishwa na wachawi. Narudi kwenye asili yangu kwa jina la yesu. Kila uchawi na ushsirikina uliopandwa kwenye famila yetu naurudisha kwa damu ya ya Yesu. Narudisha moyo wangu, ndoa yangu kwa damu ya Yesu, narudisha akili yangu iliyoibiwa na mashetani walionijia wakati niko usingizini, naamuru kuanzia sasa asili bandia rudi ulikotoka kwa jina la Yesu. Narudi kwenye asili yangu asili ya afya asili ya Baraka, asili ya ndoa, asili ya huduma, asili ua amani, asili ya amani, asili ya mafanikio katika jina la  Yesu. Imeandikwa nimepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na ng’e, nakanyaga kila adui aliyeniibia asilis yangu kwa jina la yesu.narudi kwenye asili yangu leo asili ya utawala, asilis yautajiri, asili ya kupambanua katika jina la yesu. Kila moyo ulioibiwa, tumbo lililoibiwa, ufahamu, kazi, ndoa kino famila iliyoibiwa achia kwa jina la yesu  nnoo kwa jina la yesu, naamuru uso wangu nnjoo kwa jina la yesu.naamuru koto war oho mtakatifu uwake uteketeze kila aliyeshikilia maishs yangu, famila yangu kazi yangu nyota yangu, huduma yangu afya yangu, hatiama yangu huduma yangu katia jina la yesu. Naamuru kila kilichooharika ndani ya maisha Yangu kiwekizima sasa katika jina la Yesu. Miguu iliyowekwa kwenye viwanja vya wachawi  naamuru irudishwe katika jina la yesu. Kuanzia leo uwe mwanzo wa ushindi katika jina la Yesu.


USHUHUDA.
 Binti huyu alikuwa ameibiwa akili kwa muda mrefu na yule mharabu. Alipokuwa shule alikuwa akisumbuliwa na  mapepo mara kwa mara. Hali huzidi kuwa mbaya wakati wa mitihani. Hali hii ilipelekea yeye kufeli mitihani yake ya taifa ya darasa la saba na kidato cha nne.  Amefanikiwa kujiunga na chuo cha ualimu lakini baada ya maombi na kufunguka amegundua kuwa alikuwa kwenye usingizi mzito na kuwa hakupaswa kuwa hapo alipo leo. Baada ya kufunguliwa ana ari mpya ya kufika pale ambapo Mungu amempangia kufika.





 

 

 

 

MUNGU WA DUNIA


JUMAPILI YA TAREHE 14 – 12 – 2014
SOMO: MUNGU WA DUNIA
NA MCHUNGAJI KIONGOZI: JOSEPHAT GWAJIMA
Mchungaji kiongozi Josephat Gwajima
“Lakini ikiwa injili yetu imesitirika, imesitirika kwa hao wanaopotea;
 ambao ndani yao Mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu.” 2 Wakorintho 4:3
Sio kila asemaye Mungu anamaanisha Mungu wa mbinguni. Yule muovu, shetani naye pia anaitwa Mungu, lakini ni Mungu wa dunia. Mungu wa dunia hii ana majina mengi sana.
Mungu ni kama cheo kama ilivyo kwa rais. Cheo chake ni rais wa Tanzania lakini jina lake ni Jakaya Mrisho Kikwete. Mungu tunayemwabudu ni Mungu wa mbingu na nchi, Mungu mwenyezi, Mungu Yehova.
“Nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.” Kutoka 6: 3
Mungu wa dunia hii ndio huyohuyo biblia imamtaja kama mkuu wa ulimwengu.
“Sasa hukumu ya ulimwengu huu ipo; sasa mkuu wa ulimwengu huu atatupwa nje.” Yohana12:31
Mungu huyo sio Mungu wetu sisi. Mungu wetu sisi ni Mungu wa mbingu na nchi ambaye wana wa Israeli walimwita Yehova. Mahali anapotaka kujionyesha mwenye nguvu alitokea kama Jehoiva Eligibo; Jehova Mikadeshi, Mungu atakasaye; Jehova Rohi Mungu aongozaye; Jehova Rafa Mungu aponyae, Jehova Nisi bendera yetu. 
Kwenye agano jipya  aliamua kuvaa mwili akazaliwa na tukauona utukufu wake. Alikuja kama neno akavaa mwili akazaliwa akaitwa Yesu. Lakini Neno alikuwepo tangu mwanzo na ndiye Mungu.
“Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.  Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.  Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.  Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.  Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza.” Yohana 1:1
Yesu Kristo maana yake Yehova amashia yaani “Mungu yule yule.” Leo kuna mabishano makubwa kuhusu Yesu juu ya uMungu wake. Ukisema Yesu ni nabii hakuna ubishi hapo, ukisema ni mtume hakuna anayeongea lakini unaposema tu kuwa Yesu Kristo ni Mungu panatokea kutoelewana na dunia inatikisika.
Yesu naye alimwita Mungu wa dunia mkuu wa ulimwengu, jina jingine anaitwa mwovu maana yake ni mbaya ana uovu ndani yake. Unatakiwa ufike mahali uone sio kila mtu anayesema Mungu atatusaidia anamaanisha Yesu kristo, wengine wanakuwa wakimaanisha mungu wa dunia hii. Ndio maana ya lile andiko linasema ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikra zao. Kwa hiyo wao wana mungu wa dunia hii ndani yao lakini sisi tuna Mungu wa Mbingu na nchi. Shetani amekuwa mmiliki wa dunia hii baada ya Adamu kukosa. Kwenye dunia ni kambi ya shetani. Lakini nataka ujue Mungu aliye ndani yetu ni mkuu sana ndio maana sisi tuliombeba tunao uwezo wa kuishi duniani. Yaani tumeweka kambi ndani ya kambi ya adui.

“Mimi sitasema nanyi maneno mengi tena, kwa maana yuaja mkuu wa ulimwengu huu, wala hana kitu kwangu. Lakini ulimwengu ujue ya kuwa nampenda Baba; na kama vile Baba alivyoniamuru; ndivyo nifanyavyo. Ondokeni, twendeni zetu.” Yohana14:30
“kwa habari ya hukumu, kwa sababu yule mkuu wa ulimwengu huu amekwisha kuhukumiwa.” Yohana  16:11
“Ninyi, watoto wadogo, mwatokana na Mungu nanyi mmewashinda, kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika dunia.” 1 Yohana 4:4
Kuna nguzo nne ambazo shetani anazitumia kuiendesha dunia, Nguzo hizi ni:
1.   Siasa
2.   Uchumi
3.   Dini
4.   Jeshi
Hizi ni sehemu ambazo mungu wa dunia hii amezikamata na anaziendesha kama aonavyo vyema yeye. Ndio maana leo unapotaka kuingia kwenye siasa lazima uchafuliwe kwanza kwa wizi na mambo mengine ndipo ufanikiwe. Lakini Mungu akaaye ndani yetu atazuka katika uso wa nchi na kuziangusha tawala zote za ufalme wa mungu wa dunia hii. Hapo ndipo hata wewe uliyeokoka utaweza kuingia kwenye siasa na utakatifu wako.
“Twajua ya kuwa sisi tu wa Mungu; na dunia yote pia hukaa katika yule mwovu. Nasi twajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, naye ametupa akili kwamba tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, yaani, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye Mungu wa kweli, na uzima wa milele. Watoto wadogo, jilindeni nafsi zenu na sanamu.” 1 Yohana 5:19
Andiko hili linamaanisha dunia yote inaongozwa na yule mwovu ambaye ni mkuu wa ulimwengu au mungu wa ulimwengu. Watu wa dunia hii kadri wanavyoongezeka kifedha, heshima na umaarufu ndivyo wanavyozidi kuwa wabaya. Lakini wao huona ni kawaida kwa kuwa wamepofushwa fikra zao.
“Yu wapi mwenye hekima? Yu wapi mwandishi? Yu wapi mlete hoja wa zamani hizi? Je! Mungu hakuifanya hekima ya dunia kuwa ni upumbavu?  Kwa maana katika hekima ya Mungu, dunia isipopata kumjua Mungu kwa hekima yake, Mungu alipenda kuwaokoa waaminio kwa upuzi wa lile neno linalohubiriwa.  Kwa sababu Wayahudi wanataka ishara, na Wayunani wanatafuta hekima;  bali sisi tunamhubiri Kristo, aliyesulibiwa; kwa Wayahudi ni kikwazo, na kwa Wayunani ni upuzi;  bali kwao waitwao, Wayahudi kwa Wayunani, ni Kristo, nguvu ya Mungu, na hekima ya Mungu.  Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu.  Maana, ndugu zangu, angalieni mwito wenu, ya kwamba si wengi wenye hekima ya mwilini, si wengi wenye nguvu, si wengi wenye cheo walioitwa;  bali Mungu aliyachagua mambo mapumbavu ya dunia awaaibishe wenye hekima; tena Mungu alivichagua vitu dhaifu vya dunia ili aviaibishe vyenye nguvu;  tena Mungu alivichagua vitu vinyonge vya dunia na vilivyodharauliwa, naam, vitu ambavyo haviko, ili avibatilishe vile vilivyoko;  mwenye mwili awaye yote asije akajisifu mbele za Mungu.  Bali kwa yeye ninyi mmepata kuwa katika Kristo Yesu, aliyefanywa kwetu hekima itokayo kwa Mungu, na haki, na utakatifu, na ukombozi;  kusudi, kama ilivyoandikwa, Yeye aonaye fahari na aone fahari juu ya Bwana.” 1 Wakorintho 1:20-31
Kuna watu wana hekima sana; lakini ni hekima ya dunia hii. Wanaweza kuongea maneno mpaka ukadhani ni Mungu wa mbingu na nchi anaongea kupitia wao kumbe ni mkuu wa ulimwengu/mungu wa dunia hii. Kuna watu wanatumia hekima ya dunia hii kutawala dunia.
 
Walakini iko hekima tusemayo kati ya wakamilifu; ila si hekima ya dunia hii, wala ya hao wanaoitawala dunia hii, wanaobatilika;  bali twanena hekima ya Mungu katika siri, ile hekima iliyofichwa, ambayo Mungu aliiazimu tangu milele, kwa utukufu wetu;  ambayo wenye kuitawala dunia hii hawaijui hata mmoja; maana kama wangaliijua, wasingalimsulibisha Bwana wa utukufu;  lakini, kama ilivyoandikwa, Mambo ambayo jicho halikuyaona wala sikio halikuyasikia, (Wala hayakuingia katika moyo wa mwanadamu,) Mambo ambayo Mungu aliwaandalia wampendao.  Lakini Mungu ametufunulia sisi kwa Roho. Maana Roho huchunguza yote, hata mafumbo ya Mungu.  Maana ni nani katika binadamu ayajuaye mambo ya binadamu ila roho ya binadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo na mambo ya Mungu hakuna ayafahamuye ila Roho wa Mungu.  Lakini sisi hatukuipokea roho ya dunia, bali Roho atokaye kwa Mungu, makusudi tupate kuyajua tuliyokirimiwa na Mungu.  Nayo twayanena, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya kibinadamu, bali yanayofundishwa na Roho, tukiyafasiri mambo ya rohoni kwa maneno ya rohoni.  Basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu; maana kwake huyo ni upuzi, wala hawezi kuyafahamu, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni.  Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu.  Maana, Ni nani aliyeifahamu nia ya Bwana, amwelimishe? Lakini sisi tunayo nia ya Kristo.” 1 Wakorintho 2:6-16
Lakini ipo hekima ya kiMungu pia ambayo Yakobo anaielezea namna ilivyo.
Hekima hiyo siyo ile ishukayo kutoka juu, bali ni ya dunia, ya tabia ya kibinadamu, na Shetani. Maana hapo palipo wivu na ugomvi ndipo palipo machafuko, na kila tendo baya. Lakini hekima itokayo juu, kwanza ni safi, tena ni ya amani, ya upole, tayari kusikiliza maneno ya watu, imejaa rehema na matunda mema, haina fitina, haina unafiki. Na tunda la haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani. Yakobo3:15
Hekima hizi mbili zinakinzana wakati wote hapa duniani. Haina maana kuwa tunapowatambua wenye hekima ya dunia hii basi tuwatenge. Hapana, bali tunaungana na watu hawa lakini kwa malengo. Tunaungana na watu ili kuwabadilisha wao wawe sehemu yetu na sio sisi kuwa sehemu yao. Ni vizuri unapoenda sehemu katikati ya watu wanaomtumikia mungu wa dunia hii uwe makini wasikubadilishe wewe kuwa sehemu yao. Mungu wa dunia hii ni mungu wa uongo naye hupofusha fikra za watu. Atajaribu kukupofusha wewe pia.
“Na Yesu, hali amejaa Roho Mtakatifu, alirudi kutoka Yordani, akaongozwa na Roho muda wa siku arobaini nyikani, akijaribiwa na Ibilisi. Na siku hizo alikuwa hali kitu; hata zilipotimia, aliona njaa.  Ibilisi akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, liambie jiwe hili liwe mkate.Yesu akamjibu, Imeandikwa ya kwamba mtu hataishi kwa mkate tu. Akampandisha juu, akamwonyesha milki zote za ulimwengu kwa dakika moja. Ibilisi akamwambia, Nitakupa wewe enzi hii yote, na fahari yake, kwa kuwa imo mikononi mwangu, nami humpa ye yote kama nipendavyo. Basi, wewe ukisujudu mbele yangu yote yatakuwa yako.” Luka 4:1-5
Shetani  alimpandisha Yesu na kumwonyesha miliki za dunia na fahari kwa dakika moja akamwambia mimi (ibilisi) humpa yeyote nipendavyo ila uniabudu. Kumbe basi kila aliyefanikiwa kwenye nguzo za dunia amepata kwa Bwana Mungu Yehova ama kwa ibilisi mkuu wa dunia hii baada ya kuabudu. Shetani aliuchukua utawala wa dunia kutoka kwa Adamu na kuigeuza dunia kuwa kama ilivyo leo. Adamu akija leo ataona dunia ni tofauti na alivyoiacha kwasababu ya uharibifu mkuu uliofanywa na mungu wa dunia hii. Ulimwengu uko chini ya yule mwovu asiyewaacha wafungwa wake waende zao ndio maana anaweza kutoa mali na vyote vilivyomo kwa yule atakayemwabudu.
“Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.” Warumi 12:2
“Na hii ndiyo ahadi aliyotuahidia, yaani, uzima wa milele. Nimewaandikia haya katika habari za watu wale wanaotaka kuwapoteza.  Nanyi, mafuta yale mliyoyapata kwake yanakaa ndani yenu, wala hamna haja ya mtu kuwafundisha; lakini kama mafuta yake yanavyowafundisha habari za mambo yote, tena ni kweli wala si uongo, na kama yalivyowafundisha, kaeni ndani yake.  Na sasa, watoto wadogo, kaeni ndani yake, ili kusudi, atakapofunuliwa, mwe na ujasiri, wala msiaibike mbele zake katika kuja kwake. Kama mkijua ya kuwa yeye ni mwenye haki, jueni ya kuwa kila atendaye haki amezaliwa na yeye.” 1Yohana 2:15
Dunia na tamaa zake vitapita bali yeye alishikaye neno la Mungu atadumu milele. Mungu anayetupenda ametuweka kwenye dunia ambayo mkuu wake ni ibilisi na kutupatia nguvu na mamlaka ya kumtiisha. Ndio maana Yesu alipoanza kuwafundisha watu jinsi ya kuomba aliwaambia waombe wakisema, “baba yetu uliye mbinguni” sio marekani wala ulaya bali mbinguni. “Jina lako litukuzwe” kwa maana jina lake limetukuka. “Ufalme wako uje” ili kabla kanisa halijanyakuliwa ufalme wake uje.
Mungu alimwacha shetani aujenge utawala wake hapa duniani ili amtume Yesu kama nuru auokoe ulimwengu ndio maana imeandikwa; “na ile nuru yangaa gizani nalo giza halikuweza kuishinda.” Kwa sababu hiyo Yesu Kristo alidhihirishwa ili kuudhihirisha uweza wake. Ni hakika kabisa kuwa watakaoingia mbinguni ni wengi zaidi ya watakaoingia kwenye moto wa jehanamu. Ndio maana leo kazi yetu mimi na wewe ni kuwapunguza wale wanaoelekea jehanamu ili waingie mbinguni.
“Mimi nawaombea hao; siuombei ulimwengu; bali hao ulionipa, kwa kuwa hao ni wako;  na wote walio wangu ni wako, na walio wako ni wangu; nami nimetukuzwa ndani yao. Wala mimi simo tena ulimwenguni, lakini hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba mtakatifu, kwa jina lako ulilonipa uwalinde hawa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo.” Yohana 17:9
Haya ni maneno ya Yesu, anajua ulimwengu una shetani na mawakala wake. Anasema ulimwengu umewachukia kwa sababu ukiwa wa Mungu wewe sio wa ulimwengu huu. Kama ambavyo Yesu alichukiwa wewe pia utachukiwa kwa sababu kama ambavyo alivyokuwa sio wa ulimwengu huu ndivyo na wewe ulivyo. Uko hapa kwa kazi maalum utakapoimaliza unarudi kwa baba. Lakini shetani ameshika watu wa Mungu kwenye ulevi, ukahaba, wizi na uharibifu wa kila aina.
Shetani anazo taarifa juu ya kila mtu anayezaliwa ulimwenguni kwa kuwa yeye ndiye mkuu wa ulimwengu huu. Anajua makusudi ya kila mtu pia, hivyo anaanza kuharibu lile kusudi tangu siku unayozaliwa. Kuna watu wamekuwa wagonjwa tangu siku waliyozaliwa. Lakini bado Mungu wetu anao mpango wa kukutoa hapo ambapo yule muovu amekuweka. Ndio maana ya maarifa kama haya, unapoelewa nini kinaendelea kwenye maisha yako na nini ufanye ili urudi kwenye kusudi lako la asili.
Mtu una matatizo kwasababu shetani amekuwekea matatizo kwasababu anajua utakuwa nani baadaye anajua Mungu wa mbingu na nchi ameweka kipawa cha aina gani ndani yako, mkuu wa dunia hii anakuzuia ili usije fikia pale unapotakiwa kufika. Shetaani hapambani na wewe kwasababu ulivyo anapambana na wewe kwasababu ya kitu ambacho Mungu ameweka ndani yako, elimu inatusaidia kuendeleza kile kilichowekwa na Mungu ndani yako.
“Imeandikwa kabla haujatungwa katika tumbo la mama yako nalikujua” wachawi wanahitaji kile ulichonacho ndani yako ili waendeleze ufalme wa mkuu wa ulimwengu kwenye siasa, uchumi, jeshi, dini”

 

MAOMBI.
Mkono wa mungu wa ulimwengu ulionyooshwa kwenye maisha yangu ninauvunja kwa jina la Yesu, leo nina rudi kwenye kusudi langu kwa jina la Yesu.
Kwa damu ya Yesu ninaangusha nguzo za mkuu wa ulimwengu. Wale wote mliokaa kwenye nguzo za kisiasa, dini, jeshi na uchumi chini ya mkuu wa ulimwengu ninawaangusha wote kwa jina la Yesu. Ewe mkuu wa ulimwengu nakufunga leo kwa jina la Yesu, ninaangusha fikra zako ulizoziweka kwenye maisha yangu kwa jina la Yesu Kristo. Kila hekima ya mkuu wa ulimwengu ninaiharibu kwa jina la Yesu. Kwa mamlaka ya Jina la Yesu Kristo ninazikamata nguzo zote za mkuu wa ulimwengu kwa jina la Yesu, ninafuta kila upofu wa mkuu wa ulimwengu kwenye macho yangu, akili yangu, moyo wangu kwa damu ya mwanakondoo. Ninakunyanganya kazi yangu, afya yangu uliyoigusa kwa mkono wako ewe mkuu wa ulimwengu kwa jina la Yesu Kristo.
Mashetani, majini, mapepo, mizimu, wagang, wasoma nyota na wengine wote watumishi wa mkuu wa ulimwengu ninawasambaratisha, nawafyeka kwa jina la Yesu.
Ninaamuru nyota ya safari, kupendwa, kuhubiri, biashara inayotumiwa na watu wa dunia hii irudi kwa jina la Yesu. Amina.






Salome alifukuzwa kazi na meneja wake kwa kuwa alikataa kufanya nae mapenzi.

Salome alifukuzwa kazi na meneja wake kwa kuwa alikataa kufanya nae mapenzi.
Siku moja alikuwa akitembea huku akiwa na mawazo jambo lililomfanya asigundue kuwa kuna gari lilikuwa likija na kwa bahati mbaya likamgonga na kumuua pale pale.
Baadhi wa mashuhuda walidai kuwa salome alikuwa akisoma ujumbe mfupi kwenye simu yake na kushindwa kuliona gari.
Baada ya kuchukua simu walisoma ujumbe huo na uliandikwa, "MENEJA WA OFISI YAKO YA KWANZA AMEHAMISHIWA KITUO KINGINE HIVYO NJOO JUMATATU URIPOTI NA KUWA MENEJA MPYA WA TAWI HILI"
Hebu fikiria, alipata bahati ya kupandishwa cheo na siku hiyo hiyo akawa marehemu.
.
NAKUOMBEA UNAYESOMA UJUMBE HUU SIKU ZA FURAHA ZISIKUKUTE UKIWA KABURINI- KATIKA JINA LA YESU- AMEN- !!..
Chukua sekunde yako ya muda huu kuandika neno AMEN ukiwa una maanisha na kumwomba MUNGU wako azidi kukupa ulinzi katika maisha yako. Acha kama unafikiri Mungu hana nafasi maishani mwako
Gonga Like & Share habari hii kwa marafiki

MWANAMKE AKIKUJIBU MAJIBU HAYA MKIWA MNACHAT KWA SMS ACHA KUCHAT NAYE!

MWANAMKE AKIKUJIBU MAJIBU HAYA MKIWA MNACHAT KWA SMS ACHA KUCHAT NAYE!
Lasivyo:
KWA MFANO:
1. Ukimtumia sms ''Mambo mpenzi wangu?'' akikujibu ''mambo mabaya'', usimuulize kwanini mambo mabaya, ukimuuliza atakwambia kuwa ''sina hela dear''
2. Ukimtumia sms ''Maisha yanasemaje kipenzi changu'' akikujibu ''maisha magumu hubby wangu we acha tu'' usimuulize kwanini, ukimuuliza kwanini atakwambia ''nimefulia mwenzio kama nini sijui''
3. Ukimtumia sms ''Mbona kimya sana mchumba wangu, umenitupa kiasi hicho'' akikujibu ''sijakutupa wangu yaani mambo hata hayaendi'' usimuulize kwanini mambo hayaendi, ukimuuliza atakwambia kuwa ''yaani sina kitu mpenzi wangu, simu ilikuwa haina hata hela ya kubeep''
4. Au ukiona mwanamke anaanza kwa kukwambia nikwambie kitu? We mkatalie kiutani utani tu, mwambie usiniambie, hata akikomaa vipi akwambie mwambie sitaki uniambie huku unafanya kama utani lakini moyoni unakuwa upo serious.

Ni mara chache sana mwanamke akikwambia kuwa mambo mabaya, maisha magumu au mambo hayaendi huwa na matatizo mengine kama kuumwa, misiba.... n.k lakini THE REST ni wapigaji mizinga tu. Akikwambia maisha magumu mjibu ''pole wangu, mambo mengine vipi?'' Ukipewa majibu kama hayo, chagua moja, either usiendelee kuchat nae mpaka badae kidogo au mbadilishie maada ili kukwepa huo mzinga ambao unakuja mbele yako.
Share kwa rafiki zako 3 fasta tuwenao pamoja hapa