Salome alifukuzwa kazi na meneja wake kwa kuwa alikataa kufanya nae mapenzi.
Siku moja alikuwa akitembea huku akiwa na mawazo jambo lililomfanya
asigundue kuwa kuna gari lilikuwa likija na kwa bahati mbaya likamgonga
na kumuua pale pale.
Baadhi wa mashuhuda walidai kuwa salome alikuwa akisoma ujumbe mfupi kwenye simu yake na kushindwa kuliona gari.
Baada ya kuchukua simu walisoma ujumbe huo na uliandikwa, "MENEJA WA
OFISI YAKO YA KWANZA AMEHAMISHIWA KITUO KINGINE HIVYO NJOO JUMATATU URIPOTI NA KUWA MENEJA MPYA WA TAWI HILI"
Hebu fikiria, alipata bahati ya kupandishwa cheo na siku hiyo hiyo akawa marehemu.
.
NAKUOMBEA UNAYESOMA UJUMBE HUU SIKU ZA FURAHA ZISIKUKUTE UKIWA KABURINI- KATIKA JINA LA YESU- AMEN- !!..
Chukua sekunde yako ya muda huu kuandika neno AMEN ukiwa una maanisha
na kumwomba MUNGU wako azidi kukupa ulinzi katika maisha yako. Acha kama
unafikiri Mungu hana nafasi maishani mwako
Gonga Like & Share habari hii kwa marafiki